Mafundisho ya Ndoa

Mafundisho ya Ndoa

Shannel S Silwimba

13,19 €
IVA incluido
Disponible
Editorial:
Draft2Digital
Año de edición:
2023
Materia
Citas, relaciones, convivencia y matrimonio
ISBN:
9798215417850
13,19 €
IVA incluido
Disponible

Selecciona una librería:

  • Librería Samer Atenea
  • Librería Aciertas (Toledo)
  • Kálamo Books
  • Librería Perelló (Valencia)
  • Librería Elías (Asturias)
  • Donde los libros
  • Librería Kolima (Madrid)
  • Librería Proteo (Málaga)

Kitabu hiki MNNNMA ni kiberiti kinacho washa moto wa mabadaliko makubwa, na kama siyo mapinduzi ndani ya kanisa lote linalo zungumza Kiswahili. Katika hiki tunaona mtizamo mpya wa theolojia, changamoto katika tafsiri za biblia ndani ya lugha ya Kiswahili, na jipya zaidi ni uhamisho wa waumini toka udini kuelekea mahusiano na Mungu YHWH.Kitabu kinachukulia biblia yote kuwa fumbo la picha, na hivyo kutumia mstari wa wakati uendao mbele katika mduara, kuonyesha mwanzo hadi mwisho wa kila kitu. Na kama hili halitoshi, kinaweka dai tatanishi kwamba, biblia yote iliandikwa kwa ajili ya ukombozi wa Adonai Yeshua Kristo, na kwamba yote humo pamoja na maisha yako yote, ni kwa ajili ya Mungu YHWH kuwa na familia yake tu.Kitabu kinacho dai tete la kuifunua kweli iliyo moja na ya pekee mahali pote, wakati wote, na kwa vizazi vyote. Na katika kunogesha uelewa; kinapinga mafundisho yaliyo zoeleka kwamba, mtu ataishi Mbinguni na Mungu milele, kwa kudai maandiko yote yanasema, ni Mungu YHWH anaye hamia katika Dunia mpya ndani ya Yerushalem Mpya kuishi humo milele na watoto wake watakatifu.Kitabu kinajikita katika malumbano ya kidini na sayansi, na kuitumia teknolojia ya sasa kuelezea dhana nyingi za kiimani. Na kwa kila funzo la kinadharia unalo pewa, pia huonyeshwa jinsi ya kutenda hilo uhesabiwe mstahiki wa ahadi hiyo ya Mungu. Na katika ujasiri mkuu kinaweka dai ya kuwa, hicho ni ujumbe halisi wa Mungu YHWH kwa kanisa lake tukufu linalo zungumza Kiswahili.Ni kitabu ambacho kila anayefunza dini hawezi kukikosa, na kwa kila mtu anaye taka kujua kweli ya mambo ya kiungu, hiki ni kitabu muhimu zaidi sokoni kwa sasa. Tunakiona kutawala malumbano katika kumbi za mihadhara, mimbari za masinagogi, na hata madarasani kufunzwapo dini. Ni kitabu ambacho kitafungua jicho la kila muumini, kwani katika lugha ya Kiswahili hakipo kinacho zama katika kina chake hiki. Kwa kweli uhamsho wa kanisa linalo zungumza Kiswahili sasa umefika wakati wake!

Artículos relacionados

  • Just Winging It
    Angelia J Griffin
    Aviation marriage is a unique and beautiful entity. Your husband is not an inconvenience or a blight on the flight plans of your life. He is a gift, a co-pilot with whom to share life’s journey. Whether your marriage is already soaring and you want to keep it that way or you are experiencing turbulence and long to know the joy of marriage as it was meant to be, this book is goi...
    Disponible

    17,67 €

  • A Cougar's Guide To Getting Your Ass Back Out There
    KarenLee Poter
    This is an extremely important book for today's generation of women who are single, divorced or widowed, looking at the dating scene and asking themselves 'What am I supposed to do now?' Poter's re-definition of the word 'Cougar' as no longer being the predatory jungle animal some define the Cougar but as strong, unique and powerful creatures who can make their own choices abou...
    Disponible

    9,56 €

  • A Love Once Lost
    Jovan Williams
    A Love Once Lost is a message of hope. Alex is a man who has, what seems to be, the absolute perfect life: a beautiful, healthy family; promising career; and the respect and admiration of his peers and community. What more could a man want?Alex’s perfect world comes to an abrupt end one dreadful night when he experiences sudden loss and adversity almost too much to bear. Alex f...
    Disponible

    12,52 €

  • The Triumph of Rosemary
    Marylin E. Atkins / Marylin EAtkins
    Baby Rosemary – born to an Italian teen and a married black man in Detroit in 1946 – is adopted from an agency by a black couple in Saginaw, Michigan  The adoptive mother’s abuse instills in the girl, whom they name Marylin Elnora, ambition to achieve great things on her own.  At age 19, Marylin sparks a racial and religious scandal by marrying former Roman Catholic priest Thom...
    Disponible

    15,85 €

  • Beneath the Scar
    Dr. Samone Brown
                                               The Inspiration for the Beneath the Scar Movie!Samantha Nicole Allen is the beautiful Mississippi debutante and daughter of one of the town's most notable preachers. Who would ever think that she would find herself entangled in a trap that has the potential to cause her to lose her confidence, beauty, and more tragically, her life?...
    Disponible

    16,23 €

  • Surrendering to Marriage
    Iris Krasnow
    In the New York Times best-seller Surrendering to Marriage, Iris Krasnow offers a raw and penetrating portrait of modern marriage and the backbreaking work required to make it last. With joyous, sexy, and shocking stories of real marriages, real affairs, and real divorces, Surrendering to Marriage moves far beyond a how-to manual; Krasnow shows us that a successful marriage has...
    Disponible

    17,95 €

Otros libros del autor

  • Uumbaji wa Mtu
    Shannel S Silwimba
    Kitabu Uumbaji wa Mtu; kinaanzia na YAHWEH Katika Milele kuchambua yapi na vipi vilipelekea kuumbwa kwa ulimwengu, na hatimaye pawepo mahali wakati ambapo mtu angeweza umbwa na kuishi humo. Ndipo tunaonyeshwa Kuumbwa kwa Roho na Nafsi ya Mtu katika milele, kabla kabisa ya Kufanywa kwa Mwili Mme na Mke, kwa minajili ya mtu katika hali ya roho-nafsi ahifadhiwe humo.Mpango wa Ukom...
    Disponible

    22,51 €

  • The Resurrection & Rapture
    Shannel S Silwimba
    The Resurrection & Rapture is affirmation of salvation and the love YHWH to mankind. Only through either resurrection or rapture, man was destined to depart from this material world, and acquire the citizenship of the spiritual world and live forever. To Christianity, this is leaving worldly body and dressing into the glorified one.Proving this theological understanding, we wil...
    Disponible

    13,23 €

  • The History & Life of Yeshua Christ
    Shannel S Silwimba
    This History & Life of Adonai Yeshua Christ is part of a larger work that was originally written for the Swahili-speaking church. It explores the history and life of Adonai Yeshua Christ in a way and manner which is uncommon to the modern Church. We retain actual names of individuals and places vs anglicized ones.We look at Jesus (Yeshua) prior to his birth on Earth. We spent s...
    Disponible

    15,59 €

  • Siri ya Kifo
    Shannel S Silwimba
    Hiki kitabu Siri ya Kifo ni sehemu ya kazi kubwa ambayo awali iliandikwa kwa ajili ya Kanisa linalo zungumza Kiswahili. Inachungua kwa kina dhana ya kifo, kuwa siyo mwisho wa yote. Na kama vile jambo la kushangaza kwa jinsi inavyo eleweka na wengi, kwamba kifo ni tukio ambalo kiutabibu linasababishwa na ubongo kukoma utendaji wake, lakini ndani humu tutakuonyesha kifo kuwa ni r...
    Disponible

    15,58 €

  • The Book of Death
    Shannel S Silwimba
    This Book of Death is part of a larger work that was originally written for the Swahili-speaking church. It explores the notion of death that is not the end of everything. And to the surprise of everyone as commonly known, that death is an event which clinically caused by the cessation of brain function, in here we will show you death to be a living spirit, which is also a loca...
    Disponible

    15,59 €

  • The Doctrine of Prosperity
    Shannel S Silwimba
    This book, The Doctrine of Prosperity, is part of a larger work that was originally written for the Swahili-speaking church. It explores in depth the origin of Prosperity, as an outcome of the God’s Covenants which works by the Blessing.We scrutinize the will of God YHWH to measure the accurateness of this Doctrine. We therefore noticed only two approaches to be appropriate for...
    Disponible

    22,28 €