Mafundisho ya Utajiri

Mafundisho ya Utajiri

Shannel S Silwimba

19,87 €
IVA incluido
Disponible
Editorial:
Shannel Steven Silwimba
Año de edición:
2023
Materia
Afirmación personal, motivación y autoestima
ISBN:
9798215870099
19,87 €
IVA incluido
Disponible

Selecciona una librería:

  • Librería Samer Atenea
  • Librería Aciertas (Toledo)
  • Kálamo Books
  • Librería Perelló (Valencia)
  • Librería Elías (Asturias)
  • Donde los libros
  • Librería Kolima (Madrid)
  • Librería Proteo (Málaga)

Kitabu hiki MNNNMA ni kiberiti kinacho washa moto wa mabadaliko makubwa, na kama siyo mapinduzi ndani ya kanisa lote linalo zungumza Kiswahili. Katika hiki tunaona mtizamo mpya wa theolojia, changamoto katika tafsiri za biblia ndani ya lugha ya Kiswahili, na jipya zaidi ni uhamisho wa waumini toka udini kuelekea mahusiano na Mungu YHWH.Kitabu kinachukulia biblia yote kuwa fumbo la picha, na hivyo kutumia mstari wa wakati uendao mbele katika mduara, kuonyesha mwanzo hadi mwisho wa kila kitu. Na kama hili halitoshi, kinaweka dai tatanishi kwamba, biblia yote iliandikwa kwa ajili ya ukombozi wa Adonai Yeshua Kristo, na kwamba yote humo pamoja na maisha yako yote, ni kwa ajili ya Mungu YHWH kuwa na familia yake tu.Kitabu kinacho dai tete la kuifunua kweli iliyo moja na ya pekee mahali pote, wakati wote, na kwa vizazi vyote. Na katika kunogesha uelewa; kinapinga mafundisho yaliyo zoeleka kwamba, mtu ataishi Mbinguni na Mungu milele, kwa kudai maandiko yote yanasema, ni Mungu YHWH anaye hamia katika Dunia mpya ndani ya Yerushalem Mpya kuishi humo milele na watoto wake watakatifu.Kitabu kinajikita katika malumbano ya kidini na sayansi, na kuitumia teknolojia ya sasa kuelezea dhana nyingi za kiimani. Na kwa kila funzo la kinadharia unalo pewa, pia huonyeshwa jinsi ya kutenda hilo uhesabiwe mstahiki wa ahadi hiyo ya Mungu. Na katika ujasiri mkuu kinaweka dai ya kuwa, hicho ni ujumbe halisi wa Mungu YHWH kwa kanisa lake tukufu linalo zungumza Kiswahili.Ni kitabu ambacho kila anayefunza dini hawezi kukikosa, na kwa kila mtu anaye taka kujua kweli ya mambo ya kiungu, hiki ni kitabu muhimu zaidi sokoni kwa sasa. Tunakiona kutawala malumbano katika kumbi za mihadhara, mimbari za masinagogi, na hata madarasani kufunzwapo dini. Ni kitabu ambacho kitafungua jicho la kila muumini, kwani katika lugha ya Kiswahili hakipo kinacho zama katika kina chake hiki. Kwa kweli uhamsho wa kanisa linalo zungumza Kiswahili sasa umefika wakati wake!

Artículos relacionados

  • Mindfulness colouring with affirmations for kids and adults
    Kylie Johnson
    Mindfulness colouring with affirmations for kids and adults is a unique resource that can be used by health practitioners, educators, parents and carers to help unwind, distress and be in the moment with children.   Colouring brings about a peaceful state of mind which is a proven way to to decrease stress and anxiety whilst improving memory, focus and general well being.  The ...
    Disponible

    23,63 €

  • The Swedish ABCs of Feeling Good
    Åsa Katarina Odbäck / Emile Odback Nelson
    Just like the Swedish Fika, Fika Fix is designed to pick you up when your cup feels half empty, and energize you to smile and feel good – now! Filled with recipes, stories and fun facts about coffee and funny, inspirational quotes, Fika Fix not only makes you feel better, but helps you live a happier life one sip at a time.In this book, you will learn about the social aspects, ...
    Disponible

    17,47 €

  • HEALING THE HEALER
    Hendrik Bryan Lai
    Healing the Healer: Positive Affirmations for the Healing Professions is full of positive affirmations for those moments you need a personal boost. Written by a practicing clinician and designed with clinicians in mind, Dr. Hendrik Lai knows the physical and mental challenges that come with the work. He has seen countless colleagues burn out and suffer from depression as they s...
    Disponible

    8,43 €

  • Lessons of an Opening Heart
    Barbara H. McNeely
    Did Barbara need an Open Heart?Upon learning of Barbara’s upcoming open-heart surgery, Karen told her it was the quickest way to an open heart. This was not the journey that Barbara would have chosen, but it was now her journey.The surgery itself was just one part of Barbara’s journey through a world of health and medical issues. A journey that started long before her surgery a...
    Disponible

    13,36 €

  • Stand Your Ground
    Katherine Mayfield
    Dysfunctional family dynamics can ruin a person's life, health, career, and self-esteem.  Making positive life changes and rebuilding self-esteem can only be accomplished by clearly seeing the family's negative patterns, and learning how to move beyond them.Stand Your Ground reveals how deeply dysfunctional family dynamics can affect us, offers advice on the best ways t...
    Disponible

    12,88 €

  • Killing Time
    Emmanuel De Silva II
    Aged 38, Emmanuel found himself facing a 23-year sentence in a AA Category prison. He started his journey as an illiterate and dangerous criminal, but has used his time to gain knowledge and wisdom. Whilst serving his sentence, he has completed Open University degrees in Social Science and Religion, and he is currently working towards a BA Honours degree in Arts and Humanities....
    Disponible

    14,34 €

Otros libros del autor

  • Uumbaji wa Mtu
    Shannel S Silwimba
    Kitabu Uumbaji wa Mtu; kinaanzia na YAHWEH Katika Milele kuchambua yapi na vipi vilipelekea kuumbwa kwa ulimwengu, na hatimaye pawepo mahali wakati ambapo mtu angeweza umbwa na kuishi humo. Ndipo tunaonyeshwa Kuumbwa kwa Roho na Nafsi ya Mtu katika milele, kabla kabisa ya Kufanywa kwa Mwili Mme na Mke, kwa minajili ya mtu katika hali ya roho-nafsi ahifadhiwe humo.Mpango wa Ukom...
    Disponible

    22,51 €

  • The Resurrection & Rapture
    Shannel S Silwimba
    The Resurrection & Rapture is affirmation of salvation and the love YHWH to mankind. Only through either resurrection or rapture, man was destined to depart from this material world, and acquire the citizenship of the spiritual world and live forever. To Christianity, this is leaving worldly body and dressing into the glorified one.Proving this theological understanding, we wil...
    Disponible

    13,23 €

  • The History & Life of Yeshua Christ
    Shannel S Silwimba
    This History & Life of Adonai Yeshua Christ is part of a larger work that was originally written for the Swahili-speaking church. It explores the history and life of Adonai Yeshua Christ in a way and manner which is uncommon to the modern Church. We retain actual names of individuals and places vs anglicized ones.We look at Jesus (Yeshua) prior to his birth on Earth. We spent s...
    Disponible

    15,59 €

  • Siri ya Kifo
    Shannel S Silwimba
    Hiki kitabu Siri ya Kifo ni sehemu ya kazi kubwa ambayo awali iliandikwa kwa ajili ya Kanisa linalo zungumza Kiswahili. Inachungua kwa kina dhana ya kifo, kuwa siyo mwisho wa yote. Na kama vile jambo la kushangaza kwa jinsi inavyo eleweka na wengi, kwamba kifo ni tukio ambalo kiutabibu linasababishwa na ubongo kukoma utendaji wake, lakini ndani humu tutakuonyesha kifo kuwa ni r...
    Disponible

    15,58 €

  • The Book of Death
    Shannel S Silwimba
    This Book of Death is part of a larger work that was originally written for the Swahili-speaking church. It explores the notion of death that is not the end of everything. And to the surprise of everyone as commonly known, that death is an event which clinically caused by the cessation of brain function, in here we will show you death to be a living spirit, which is also a loca...
    Disponible

    15,59 €

  • The Doctrine of Prosperity
    Shannel S Silwimba
    This book, The Doctrine of Prosperity, is part of a larger work that was originally written for the Swahili-speaking church. It explores in depth the origin of Prosperity, as an outcome of the God’s Covenants which works by the Blessing.We scrutinize the will of God YHWH to measure the accurateness of this Doctrine. We therefore noticed only two approaches to be appropriate for...
    Disponible

    22,28 €