Librería Samer Atenea
Librería Aciertas (Toledo)
Kálamo Books
Librería Perelló (Valencia)
Librería Elías (Asturias)
Donde los libros
Librería Kolima (Madrid)
Librería Proteo (Málaga)
Tufani ni kitu cha kawaida katika bahari, hivyo mtu anayekusudia kuwa nahodha wa chombo chochote cha majini, ni lazima ajifunze kutambua dalili za ujio wake na namna ya kupambana nayo. Mtu wa Mungu pia kama alivyo nahodha, unapaswa kuwa tayari kupambana na tufani za maisha zinazovuma kila siku. Utayari huo unaopatikana katika Yesu Kristo ndiyo pekee unaoweza kukupa furaha ya kweli, na kukujaza amani ya rohoni kila tufani inapovuma. 3